Mkutano wa Ushikamano wa Wajane: Huu ni mkutano unaolenga kutoa msaada wa kihisia, kijamii, na kisaikolojia kwa kupitia mikutano ya kijamii. Lengo ni kuimarisha umoja kati ya wajane na kujenga mtandao wa msaada.
Semina ya Mafunzo ya Ujasiriamali kwa Wajane: Hii ni semina inayolenga kuelimisha na kuwapa wajane ujuzi na maarifa ya kuwawezesha kuwa na uhuru wa kifedha kupitia ujasiriamali.
Siku ya Afya ya Wajane: Huu ni tukio la kutoa huduma za afya bure kwa wajane, likijumuisha vipimo vya afya, ushauri wa lishe, na huduma za kisaikolojia ili kuhakikisha ustawi wa mwili na akili.
Chama cha Wajane ni jukwaa linalolenga kuwasaidia wajane kwa kuwapa msaada wa kihisia, kiuchumi, na kijamii. Tunatambua changamoto wanazokumbana nazo, ikiwemo upweke, unyanyapaa, na ukosefu wa fursa za kujitegemea. Kupitia programu zetu, tunalenga kuwapa uwezo wajane kuishi maisha yenye matumaini na heshima.
TANZANIA OFFICES:
HQ OFFICES : +255
+255
Monday-Friday (9:00 AM - 5:00 PM)
Saturday and Sunday: Off
Copyright 2023. All Rights Reserved.